HOJA NEWS BLOG

SOMALIA RASIMI MWANACHAMA MPYA WA NANE EAC

HOJA NEWS BLOG Add Comment
SOMALIA RASIMI MWANACHAMA MPYA WA NANE EAC
KATIBU MKUU EAC ASEMA WANANCHI NCHI WANACHAMA WAFIKIA MILIONI 350,SOKO LA PAMOJA AJIRA KUPANUKANchi ya Somalia imejiunga Rasmi kuwa mwanachama wa nane wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki katika makao Makuu ya EAC Jijini...

DKT. MPANGO TUSIKATE MITI HOVYO”-

HOJA NEWS BLOG Add Comment
   DKT. MPANGO TUSIKATE MITI HOVYO”-
Na Anangisye Mwateba-TangaMakamu wa Rais, Mhe. Dkt. Phillip Mpango amewataka wananchi kutokata miti hovyo ili kulinda mazingira na uoto wa asili uliopo sasa.Dkt. Mpango ameyasema hayo leo Februari 21,2024 katika kijiji cha...

RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN APOKEA TAARIFA YA MAANDALIZI YA MAZISHI

HOJA NEWS BLOG Add Comment
RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN APOKEA TAARIFA YA MAANDALIZI YA MAZISHI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Kikao cha kupokea Taarifa ya Maandalizi ya Mazishi ya Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Lowassa tarehe 16 Februari, 2024. Kikao hicho kimefanyika...

MCHANGO WA LOWASSA KATIKA KITUO CHA KIMATAIFA CHA MIKUTANO CHA ARUSHA (AICC)

HOJA NEWS BLOG Add Comment
MCHANGO WA LOWASSA KATIKA KITUO CHA KIMATAIFA  CHA MIKUTANO CHA ARUSHA (AICC)
Mwamba wa Kaskazini Hayati Edward Lowassa akiwa katika Mkutano wa Utalii wa Mikutano Jijini Rio de Janeiro Nchini Brazil Mwaka 1989.Kulia ni aliyekuwa Mkurugenzi wa Masoko na Mikutano wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa...

EDWARD LOWASSA NI MWAMBA WA KASKAZINI

HOJA NEWS BLOG Add Comment
EDWARD LOWASSA  NI MWAMBA WA KASKAZINI
Na Novatus Makunga.Leo Ijumaa ya tarehe 16 Februari 2024 ndiyo siku rasmi ya kutoa heshima ya mwisho kwa Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Ngoyai Lowassa kijijini kwake Ngarash wilayani Monduli Mkoani Arusha.Ni nafasi pekee...