Na Prisca Libaga Maelezo, Arusha kamati ya Bunge ya Kudumu ya Ardhi, Maliasili na Utalii imepongeza Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa kutenga sh. bilioni 8 kwa ajili ya kutelekeza ...
Na Prisca Libaga ,Arusha.Mkurugenzi Ufundi wa Shirika la mawasiliano Nchini TTCL mhandisi Cecil Francis ,kwa niaba ya Mkurugenzi mkuu wa TTCL ,amesema wilaya 33 kati ya 139 ambazo hazijaunganishwa kwenye mkongo...
Na Prisca Libaga.Mkurugenzi wa biashara Kampuni ya simu za mkononi, Airtel ,Joseph Muhere, amesema mwaka Jana kampuni hiyo imefunga mtambo mpya Submarinecable ambao ni mkubwa na una uwezo mkubwa wa kupokea na kutumia...
Na Prisca Libaga ArushaMamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) Kanda ya Kaskazini kwa niaba ya Kamishna Jenerali tarehe 13.09.2024 imeteketeza kwa mujibu wa sheria vielelezo vya dawa za kulevya aina ya...
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na rushwa TAKUKURU Mkoa wa Arusha kuanza uchunguzi dhidi ya Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Injinia Juma Hamsini na baadhi ya...
KATIBU MKUU EAC ASEMA WANANCHI NCHI WANACHAMA WAFIKIA MILIONI 350,SOKO LA PAMOJA AJIRA KUPANUKANchi ya Somalia imejiunga Rasmi kuwa mwanachama wa nane wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki katika makao Makuu ya EAC Jijini...
Na Anangisye Mwateba-TangaMakamu wa Rais, Mhe. Dkt. Phillip Mpango amewataka wananchi kutokata miti hovyo ili kulinda mazingira na uoto wa asili uliopo sasa.Dkt. Mpango ameyasema hayo leo Februari 21,2024 katika kijiji cha...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Kikao cha kupokea Taarifa ya Maandalizi ya Mazishi ya Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Lowassa tarehe 16 Februari, 2024. Kikao hicho kimefanyika...
Mwamba wa Kaskazini Hayati Edward Lowassa akiwa katika Mkutano wa Utalii wa Mikutano Jijini Rio de Janeiro Nchini Brazil Mwaka 1989.Kulia ni aliyekuwa Mkurugenzi wa Masoko na Mikutano wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa...
Na Novatus Makunga.Leo Ijumaa ya tarehe 16 Februari 2024 ndiyo siku rasmi ya kutoa heshima ya mwisho kwa Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Ngoyai Lowassa kijijini kwake Ngarash wilayani Monduli Mkoani Arusha.Ni nafasi pekee...